AZINDUA rasmi zoezi kampeni YA uandikishaji wananchi kupata vitambulisho vya URAIA Afanya mkutano na viongozi wa dini na mila halmashauri YA Mbeya na kuwaomba kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwa ajili ya vitambulisho vya URAIA AWATAKA watendaji na wananchi kuwa macho na watu wasiokuwa Raia wasiandikishwe ikizingatiwa Mkoa wa Mbeya upo mpakani na bila kuchukua tahadhari wasiokuwa Raia watatumia kama Fursa YA kujiandikisha ni hatari 
-Awaomba viongozi wa dini kukemea mila POTOFU na imani za kupitiliza ktk jamii ikiwemo matukio YA hivi karibuni YA watu kutokuzika na kusubiri maombi YA KUFUFUA au kufukua kaburi ili kufufua
- Amewataka viongozi wa dini na mila kushirikiana na serikali kutokomeza imani za kupitiliza na imani za mila potufu ikiwemo uchonaji ngozi au viungo vya binadamu



0 comments:
Post a Comment