,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Friday, March 31, 2017

Malaika wa kwanza (kulia) akiwa na raia wa Marekani nchini humo
MSANII wa muziki Bongo ambaye hivi karibuni alitimkia Marekani kwa shughuli za kimuziki amegandwa na skendo ya kujiuza maeneo mbalimbali nchini humo na ikatajwa kuwa ndiyo sababu ya kuzamia huko mazima.

Habari hizo zilizagaa mtandaoni hivi karibuni, huku baadhi ya watu waliojifanya kumjua sana wakidai kuwa, wakati msanii huyo anaondoka Bongo ilikuwa akakae siku chache lakini amegoma kurudi na miongoni mwa mishe anazozifanya ni kujiuza kwenye makasino na sehemu za burudani.
Malaika (kulia) akiwa na mtanzania anayeishi Marekani.
Baada ya madai hayo kuzagaa, paparazi wetu alimtafuta Malaika kupitia simu yake kwa njia ya WhatsApp ambapo alipopatikana alisema:
“Jamani, naanzajeanzaje kujiuza? Huku nimekuja kwa dili zangu za kimuziki, hao wanaonizushia kuwa najiuza ni kati ya wasionitakia mema.”

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi