,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Saturday, August 13, 2016

Taswira kutoka eneo la ajali.
MSANII wa Bongo Fleva ambaye ni zao la Endless Fame inayomilikiwa na malkia wa filamu Bongo, Wema Sepetu, Mirror amepata ajali maeneo ya Ununio jijini Dar hivi punde.
Inasemekana, Mirror alikuwa akielekea nyumbani kwa bosi wake, Wema ‘Madam’ na baada ya kufika maeneo hayo alipata ajali mbaya iliyosababisha gari alilokuwa nalo, (gari ndogo aina ya Toyota lenye namba T 169 DDK) kutumbukia katika mtaro.
Msanii Mirror.
Inasemekana Mirror alikuwa peke yake ambapo baada ya ajali  alipata maumivu makali maeneo ya miguuuni na hapohapo alipopigiwa simu Wema hakupatikana hewani na alipopigiwa Kadinda iliita bila kupokelewa.
Hata hivyo wasamaria wema wamemchukuwa na kumuwaisha hospitali kwa matibabu zaidi.
Kwa habari zaidi ya kitakachoendelea tutazidi kuwajuza, endelea kufuatilia mtandao huu…

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi