"Nyalandu;
Cheo ni dhamana, viongozi wote wa serikali waliotokana na CCM watambue
kilichoaminiwa ni Chama na si wao binafsi. Wanapofanya vyema Chama
kinasifiwa na wanapoboronga Chama kinalaumiwa.
Kazi ya kiongozi upimwa na wananchi. Wananchi wengi wanalia na uonevu na dhuluma ya maafisa wa maliasili huku waziri kutwa kucha na suti na wasanii wa Bongo movie na bado utataka Katibu mkuu wa Chama akutetee mbele ya wananchi wanaolia ? NO! Ukijiangalia kwenye kioo unachokiona ndio taswira yako, usipigane na kioo, badilika. Wizara hii ina hela sana lakini fedha fedhea, ona ulivyonwingiza Sheikh Alhad Salum kwenye mkenge wa kukutetea na Mufti kamkana. Utetezi mzuri nenda kwa wananchi maskini wanaokulalamikia kawatatulie kero zao. Sikio halizidi kichwa. Huwezi mfikia mzee kinana kwa vyeo, umaarufu, hata uzoefu wa uongozi.Kinana hamwonei mtu. Anatetea wanyonge ambao ni mtaji wa CCM."
Kazi ya kiongozi upimwa na wananchi. Wananchi wengi wanalia na uonevu na dhuluma ya maafisa wa maliasili huku waziri kutwa kucha na suti na wasanii wa Bongo movie na bado utataka Katibu mkuu wa Chama akutetee mbele ya wananchi wanaolia ? NO! Ukijiangalia kwenye kioo unachokiona ndio taswira yako, usipigane na kioo, badilika. Wizara hii ina hela sana lakini fedha fedhea, ona ulivyonwingiza Sheikh Alhad Salum kwenye mkenge wa kukutetea na Mufti kamkana. Utetezi mzuri nenda kwa wananchi maskini wanaokulalamikia kawatatulie kero zao. Sikio halizidi kichwa. Huwezi mfikia mzee kinana kwa vyeo, umaarufu, hata uzoefu wa uongozi.Kinana hamwonei mtu. Anatetea wanyonge ambao ni mtaji wa CCM."
- James Rock Mwakibinga, Mac Temba Jr., Gsg Meena and 36 others like this.
- Ramadhani Mvumo You nailed it. Nimeipenda kwani viongozi na wanachama wengi wa ccm hawana huo ujasiri wa kuwasema viongozi wao bila uoga
- Joe Warioba Deo Ndejembi huu ungonjwa Nyalandu dalili zake kama Ebola ama nasikia kufa kufa kila nisomapo kila siku gonjwa hili Nyalandu!
- Aminah Makona Una chaaapaaaa
- Bernard Mgina nice one
- Enock Gray A nail nailed to the coffin.Nyalandu is s disease!!
- Allen Crony Kasamala Si chairman ashauriwe kumtema kuliko malumbano
- Allen Crony Kasamala publicly embarrassing him is publicly embarrassing the appointing authority publicly
- Enock Gray Kikwete alimchagua Nyalandu ku balance Unyaturu wake eti ili kila ethnic group ifaidi uongozi.Nyalandu mwenyewe:- Jeuri, Ana maringo,Hana adabu,Hana aibu!!!
- Deo Ndejembi Allen Crony Kasamala Hakuna anae lumbago. . Ushauri upo njiani.
- Deo Ndejembi Lumbana
- Joe Warioba Kwani JK alimuokota wapi huyo mtu nina uhakika jamaa hajui nini wajibu wa kazi yake kwa jamii na wananchi wa Tanzania. Basi kama ndie huyo msipoteze muda wenu kumjadili atajiona celebrity wakati hana kitu kichwani. BBC walimfanyie interview hapa ilikuwa aibu sidhani kama aliwahi kwenda shule enzi ya ujana wake, ni limbukeni tu huyo nishamjua!
- Saleem Tigana Kilemba huyo jamaa chizi anaacha watu wanateseka anamchukua antyvezekiel anaenda nae america,mwache sasa aliwe na simba
- Michael Malecela Juniour Huwa nahisi mtu mwenye makengeza na akili yake hivyo hivyo
- Gabriel Ndobho Well said.
- Fadhil Liwaka Hatuwezi kuwa WAMOJA kwenye maovu.. Maumivu ya wanyonge ni zaidi ya nafasi zetu...Asante.Deo Ndejembi
- Charles S. Alphonce The truth well narrated. Safi hiyo.
- Peter Msaki Singida kwenyewe hawamtaki?
- Shikunzi Haonga Well said brother!
- Lolamaka Arnold Mgana Deo G umenena vyema
- Faiza Salim Absolutely right
- Selemani Sankwa SAFI SANA MNEC,UKWELI NDIO HUO
- Joseph Lusinde Hakika mheshimiwa ndejembi
- Sylvester Yaredi Huyu Nyalandu ni mtu mpuuuzi sana.hafsi aondokeeeee
- Baraka Abdallah Kange Deo Ndejembi mdogo wangu hii safi kiroho safi wamuige huyu mzee kinana hata kwa vitendo tu mengine ya kujikimu na utawala najua hawatamuweza
- Write a comment...
0 comments:
Post a Comment