,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Monday, July 27, 2015

 Mbunge wa Viti Maalum Chadema, Leticia Nyerere, amehamia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Tangu awali mbunge huyo alisakamwa na maneno mengi kutoka kwa viongozi wa Chadema akiwemo kwamba aachane na ubunge ndani ya Chadema ili ajiunge na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuliko kuendelea kukipigia debe chama hicho akiwa upinzani.



Name:  Leticia.jpg
Views: 527
Size:  72.3 KB


Mbunge wa Viti maalumu Chadema mkoani Mara, Leticia Nyerere, (katikati) akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam jana kuhusu kuhama kutoka chama chake cha chadema na kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kulia ni mtoto wake,Helena Nyerere na Julia Nyerere.

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi