3 hrs ·
Hii
nchi tumelogwa na nani? Sasa naanza kuamini kuwa tunahitaji maombi ya
kuvunja laana.... Duh! Ubunge umekuwa kitu cha kudharauliwa hivi?!
Huyu hata ujumbe wa mtaa wenye watu makini hawezi kuingizwa.
Mnasemaje ndg.zangu.
Mnasemaje ndg.zangu.
#Mwanamuziki Shilole anasema anapokea maombi mengi kutoka kwa wananchi wa Igunga kumshawishi agombee jimbo hilo #OCTOBER....

0 comments:
Post a Comment