,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Tuesday, August 29, 2017

Baada ya kukosewa kuandikwa baadhi ya maneno kwenye Ngao ya jamii TFF yafanya marekebisho, August 23 , 2017 simba waliibuka washindi dhidi ya Yanga na kukabidhiwa Ngao ya jamii ambayo ilikuwa na makosa ya kiuandashi.

Ngao hiyo ya jamii iliyotolewa kwa simba ilikuwa ikisomeka  "COMMUNITY SHEILD" badala ya "COMMUNITY SHIELD" jambo ambalo lilizua mijadala  kwenye mitandao ya kijamii  na kupelekea  TFF kuomba radhi kwa mashabiki wa mpira wa miguu
Afisa  habari wa TFF Alfred Lucas leo August 29   2017 ameonesha  Ngao ya jamii iliyofanyiwa marekebisho itakayotolewa kwa Simba siku ya mechi ya ligi kuu Tanzania bara 
Categories:

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi