Video ya wimbo wa Ali Kiba "Seduce me" wazidi kuvunja record ukanda wa Afrika mashariki baada ya kufikisha watazamaji zaidi ya milioni moja ndani ya muda wa masaa 38 sasa imeendelea kufanya vizuri kwenye mtandao wa youtube na kwenye stesheni za redio mbalimbali.
Video ya seduce me imeshikilia nafasi ya kwanza katika video zinazofanya vizuri kwenye mtandao wa Youtube , Imefikisha watazamaji milioni 2 ndani ya muda wa siku 3 .Hatua hiyo inazidi kuiweka kuwa video ya kwanza Afrika mashariki kutazamwa na watu wengi kwa muda mfupi

0 comments:
Post a Comment