,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Tuesday, August 29, 2017

Mwanamuziki nguli toka kenya Prezzo wiki iliyopita kabla ya pambano la Floyd Mayweather na Mcgregor  alisikika kwenye moja ya kituo cha Redio Arusha akisema  yeye na mayweather  ni marafiki wa karibu sana .


Rapper huyo kutoka kenya  alifunguka sababu za kutohudhuria pambano la swahiba wake licha ya kuwa na mualiko kutoka kwa Floyd mwenyewe ,Prezzo adai alichelewa ku renew visa yake ya kusafiria kwenda marekani kushuhudia  pambano la swahiba wake, Pambano hilo lilifanyika kwenye uwanja wa T-mobile Arena jijini Las vegas.
Rapper huyo asema kuwa  ana mawasiliano mazuri na bondia huyo na watu wasishangae siku wakimuona yeye na  Mayweather wakiwa matembezini jijini  Las Vegas

Categories:

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi