![]() |
*WAMEENDELEA* na kazi zao kama kawaida, *HOJA* yao kubwa wanasema *HAWANA* mkataba wa Kazi na *TUNDU LISSU,* wana mikataba ya kazi na *WATEJA* wao.
Hii ndio Dar es Salaam ya Mawakili Wasomi, na wanaojitambua na kutambua *HESHIMA* ya taalamu zao.
Ikiwaka *MULIKA,* ikizimika *PAPASA.*
Wakili Mtarajiwa
*Jerry C. Muro*
*Ubungo, Maziwa*
*Dar es Salaam.*
*29/08/2017*
Wakili Mtarajiwa
*Jerry C. Muro*
*Ubungo, Maziwa*
*Dar es Salaam.*
*29/08/2017*

0 comments:
Post a Comment