,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Wednesday, May 24, 2017

Image result for magufuli images


1.Wapo waliotaka kuingilia uchunguzi huu na majina yao serikali inayo,wapo watu wamehongwa pesa na kuna wengine wamerekodiwa mpaka video!.


2.Nchi ipo kwenye vita mbaya ya uchumi,makontena 3600 ya mchanga yenye madini yanasafirishwa kila mwaka kwenda nje!.

3.Mali zinapotea,watanzania wamewekwa kusimamia na hawajali kuona mali zinaibiwa,ndiyo maana baada ya aliyekuwa katibu mkuu wa wizara kutoa majibu ya uongo kwa wabunge,alifukuzwa papo hapo!.

4.Watanzania katika vita hiii tuwe wamoja,wawekezaji hawa wamefukia hatua ya kuunder invoice kwenye kila jambo!.

5.Kwenye eneo hili peke yake,nchi hii ilitakiwa kuwa inasaidia mataifa mengine na siyo kuwa omba omba!.Madini haya yanaaafirishwa bureee kwenda nje!.

6.Viongozi wa wizara walikuwa wanakwamisha ununuaji wa smelter ili mchanga usafishiwe hapa nchini!.
UAMUZI WA RAIS
 

1.Mapendekezo yote ya kamati yamekubalika
2.Bodi ya TMAA imevunjwa kuanzia leo!.
3.Chief executive wa TMAA anasimama na watumishi wote wa TMAA wachukuliwe hatua za kisheria!.
4.Vyombo vya ulinzi na usalama vianze kutumika kwenye ulinzi wa mali za umma hususani zinazojusika na madini!.

5.Vyombo vya ulinzi viwachunguze watendaji wa wote wa wizara ya nishati na madini!.
6.Waziri wa nishati na madini aachie madaraka yake!

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi