,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Wednesday, June 15, 2016

Maelfu ya watu wamekusanyika huko Orlando Marekani usiku wa jumatatu, kuwakumbuka na kuwaombea watu 49 waliouwawa kwa mashambulizi ya kikatili ya risasi kwenye Klabu ya Usiku ya Mashoga siku ya jumapili.
  Watu wakiwa wamekumbatiana kwa majonzi wakati wa kuwaomboleza  waliouwawa Orlando
           Vilio vikiwa vimetawala wakati wa kuwaomboleza watu 49 waliouwawa Orlando
                                Hata wanaume walishindwa kujizuia na kumwaga chozi

Watu wakiwa na mishumaa wakiomboleza wenzao waliouwawa kwenye Klabu ya Pulse huko Orlando

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi