,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Friday, March 17, 2017

Msemaji wa jeshi la polisi nchini Uganda Felix Kaweesi amepigwa risasi na kuuawa baada ya gari lake kumiminiwa risasi na watu wasiojulikana.


Taarifa za awali aimeeleza kwamba tukio hilo limetokea  nyumbani kwake Kulambiro, Kisaasi kaskazini mashariki mwa mji mkuu Kampala.
 
Felix ambae aliteuliwa kuwa msemaji wa polisi Agosti mwaka jana alikuwa njiani kwenda kuwahutubia wanafunzi katika chuo kikuu cha Uganda Christian University alipokumbana na mauti yake. Wanafunzi walikuwa tayari wamekusanyika ukumbini katika chuo hicho.

Wakati huo huo walinzi wake wawili waliokuwa pamoja nae nao wameuawa.
 

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi