Mkali wa muziki wa Bongo FLeva Tunda Man juu ya kunusurika kuchomwa kisu huko Zanzibar.Inasemekana kuwa chanzo cha vurugu hizo ni kutoelewana kwa Tunda Man na promota ambaye alikuwa amemwita kwenye show visiwani humo.
"mimi sijashikiwa kisu wala sijashika hizo hela na mimi nilienda kule na wife kwa sababu ya spending zangu tu na jamaa walinifata kule kule kwamba sisi tuna show yetu nje kidogo ya Zanzibar na nikaenda pale nika perform na nikaondoka, Sikudai hata sh 10 wala hizo hela sikushika nasikuwaona tena”-Tunda Man
0 comments:
Post a Comment