,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Friday, March 10, 2017

Mkali wa muziki wa Bongo FLeva Tunda Man juu ya kunusurika kuchomwa kisu huko Zanzibar.Inasemekana kuwa  chanzo cha  vurugu hizo ni kutoelewana kwa Tunda Man na promota ambaye alikuwa amemwita kwenye show visiwani humo.

 "mimi sijashikiwa kisu wala sijashika hizo hela na mimi nilienda kule na wife kwa sababu ya spending zangu tu na jamaa walinifata kule kule kwamba sisi tuna show yetu  nje kidogo ya Zanzibar na nikaenda pale nika perform na nikaondoka, Sikudai hata sh 10 wala hizo hela sikushika nasikuwaona tena”-Tunda Man

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi