,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Friday, March 24, 2017

Image may contain: 4 people, people standingAfanya mkutano wa hadhara wa kusikiliza kero za wananchi kata YA Uyole, ahahidi kuendelea mikutano YA kusikiliza kero za wananchi kata zote
- Awataka watendaji wa serikali kuwa wepesi na Karibu na wananchi kushughulikia kero za wananchi
- Asema watendaji wa serikali wathibitishe kwa vitendo kwa wananchi ofisi zao ni kimbilio la wananchi ikiwemo kupunguza urasimu na lugha za maudhi kwa wananchiImage may contain: 1 person, standing and outdoor
- Aagiza uongozi wa jiji la Mbeya kurejesha maeneo waliogawa kwa raia wa kigeni utaratibu ufuatwe yarejeshwe kwa wananchi kwa ajili ya soko
- Wananchi 36 waliotapeliwa mashamba yao na mwekezaji warejeshewe baada ya mwekezaji kutokujenga Shule kwa miaka 14Image may contain: 7 people, people standing and outdoor
Aidha amewaagiza TRA kuweka utaratibu wa kwenda kwenye kata kukusanya kodi YA majengo badala YA kuwapa usumbufu wananchi kwenda kuweka FOLENI ofisi za TRAImage may contain: 2 people, people standing and outdoor

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi