Kilichosababisha kifo cha Pop staa George Michael kimetajwa kuwa ni matatizo ya maini na moyo ila mpaka sasa haijulikani kama pombe imechangia madhara hayo.
Michael alikuwa na tatizo la mafuta kwenye maini linalosababishwa na unywaji pombe kupitiliza na uzito mkubwa. Pia daktari anasema kulikuwa na tatizo kwenye mishipa ya moyo.
Michael alifariki kwenye siku ya X Mass mwaka 2016 akiwa na miaka 53.
0 comments:
Post a Comment