,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Thursday, March 23, 2017


Baraza la Michezo la Taifa BMT limeandaa tamasha maalum la michezo kwa wanawake ili kutoa hamasa kwa wanawake kushiriki kwa wasichana na wanawake katika michezo na uongozi ili kuleta maendeleo katika jamii.

Akizungumza na Blogu ya Jamii Mjumbe wa Baraza la michezo la taifa Jenifer Mmasi amesema tamasha hilo litakutanisha watu wenye marika mbalimbali.
Jenifer amesema tamasha hilo litajenga mfumo mzuri wa kumuwezesha mwanamke kushiriki katika michezo kwa uhuru zaidi.
Katika hatua nyingine Jenifer amewataka wadau mbalimbali wajitokeze ili kuwezesha tamasha hilo kufanyika kwa kutoa michango ya fedha au kuwezesha tamasha hilo kwa namna mbalimbali.

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi