,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Friday, June 24, 2016

Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania, wakibeba vyakula wakati  wa hafla ya kutoa msaada wa vyakula  katika viwanja vya Ikulu mjini Bagamoyo jana. Wafanyakazi  wa Vodacom Tanzania kupitia  taasisi ya jamii ya Vodacom  Tanzania Foundation,
walijumuika  na Waislamu wa Bagamoyo na vitongoji vyake, kwa kuwapa msaada wa vyakula  mbalimbali kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.PICHA NA MPIGAPICHA WETU

Meneja wa Ruzuku na  Mawasiliano wa  Vodacom  Tanzania Foundation, Sandra Oswald (wa pili kushoto) akigawa vyakula kwa wanawake waislamu,  wakati  wa hafla ya kutoa msaada wa vyakula  katika viwanja vya Ikulu mjini Bagamoyo jana. Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania kupitia  taasisi ya jamii ya Vodacom  Tanzania Foundation,walijumuika  na Waislamu wa Bagamoyo na vitongoji vyake, kwa kuwapa msaada wa vyakula  mbalimbali kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.PICHA NA MPIGAPICHA WETU

Mkazi wa Bagamoyo mjini,Mwanaidi Mwela (wapili kulia)akiweka mfuko wa maharage kwenye kapu lake baada ya kukabidhiwa msaada wa vyakula mbalimbali na baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom,  wakati  wa hafla ya kutoa msaada wa vyakula  kwenye kaya 100 za mjini humo uliofanywa  na wafanyakazi hao kupitia taasisi ya jamii ya Vodacom  Tanzania Foundation, walipojumuika  na Waislamu wa Bagamoyo na vitongoji vyake hapo jana.

Mkuu wa Vodacom Tanzania Foundation, Renatus Rwehikiza (wa pili kushoto) na  Mkuu wa Idara ya Mawasiliano na Mahusiano wa Vodacom Tanzania, Jacquiline  Materu (wa tatu kushoto), wakigawa vyakula kwa Waislamu wa Bagamoyo, wakati  wa hafla ya kutoa msaada wa vyakula  katika viwanja vya Ikulu mjini Bagamoyo jana. Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania kupitia  taasisi ya jamii ya Vodacom  Tanzania Foundation, walijumuika  na Waislamu wa Bagamoyo na vitongoji vyake, kwa kuwapa msaada wa vyakula  mbalimbali kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

Mkazi wa Bagamoyo, Mohamed Ammer Maki (kulia) akifurahia msaada wa vyakula, wakati  wa hafla ya kutoa msaada wa vyakula  katika viwanja vya Ikulu mjini Bagamoyo jana. Wafanyakazi  wa Vodacom  Tanzania kupitia  taasisi ya jamii ya Vodacom  Tanzania Foundation, walijumuika  na Waislamu wa Bagamoyo na vitongoji vyake, kwa kuwapa msaada wa vyakula  mbalimbali kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. 

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi