Picha ya mwanzo ni Huyo aliye mstari wa mbele alievaa nguo nyeusi aliyekunja mikono kifuani.
Picha ya pili ni hati yake ya ukaazi inayompa sifa ya mgeni aliyeruhusiwa kuishi nchini kwa kazi ya uwekezaji na wala sio kujihusisha na siasa.
Mgeni kujihusisha na masuala ya kisiasa ni kinyume cha Katiba na Sheria za nchi. Aidha amekiuka masharti ya kibali cha ukaazi alichopewa.
CHANZO : JAMII FORAM
0 comments:
Post a Comment