,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Tuesday, July 28, 2015


Headlines baada ya headlines kuhusu siasa Tanzania zina uzito mpya kila siku… Imeandikwa sana Magazetini kuhusu Mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa kuhama CCM, kilichoteka headlines July 2015 kimeongezea uzito kwenye ishu hiyo.
Viongozi wa Vyama vya UKAWA, Emmanuel Makaidi, Prof. Lipumba, Freeman Mbowe na James Mbatia wamekutana Makao Makuu ya CUF Buguruni Dar na kutoa majibu kuhusu kumpokea Edward Lowassa.  


0 comments:

Post a Comment

ufunguzi