MCHUMBA wa
Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarina Hassan ‘Zari’ amedaiwa
kuangua kilio baada ya kuvuja kwa picha yake na mfanyabiashara maarufu
jijini Dar, Mzamili Katunzi ambayo ilidaiwa kuwa ni mtu wake na
kusababisha gumzo mjini.Mtu wa karibu na Zari amefunguka
kuwa Zari alijisikia vibaya sana baada ya kuona picha hiyo na kukasirika hivyo kuanza kuwasaka watu walioivujisha kwani walikuwa na nia mbaya ya kumgombanisha lakini wamechemka.
“Zari kamaindi kweli, anajiuliza huyo aliyeivujisha alikuwa na lengo gani?” alisema mtu huyo.
kuwa Zari alijisikia vibaya sana baada ya kuona picha hiyo na kukasirika hivyo kuanza kuwasaka watu walioivujisha kwani walikuwa na nia mbaya ya kumgombanisha lakini wamechemka.
“Zari kamaindi kweli, anajiuliza huyo aliyeivujisha alikuwa na lengo gani?” alisema mtu huyo.
0 comments:
Post a Comment