,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Saturday, May 23, 2015

Young Killer
amejitetea kwamba wameshindwana kibiashara show hiyo ya uzinduzi wa radio Jembe fm ulipangwa kufanyika miezi ya nyuma ambapo msanii T pain wa Marekani alitangazwa kutumbuiza.Malipo yakipindi hicho kwa Young Killer yalikua katika makubaliano sawa.Show hiyo ilihairishwa hadi leo  23 may baada ya redio hiyo kutoweka hewani kwa zaidi ya mwezi.  Hakupewa taarifa yoyote mbaka ilipopagwa tena na malipo yake kua ya chini zaidi.Young Killer atafanya show usiku huu mkoani Shinyanga club Butiama kwenye instagram party.
Fid Q kwa upande wake hakuweza kupatikana kwenye simu.Ikumbukwe wasanii hawa ndio wanaoiwakilisha Jiji la Mwanza katika ulimwengu wa burudani.Wasanii wa Mwanza walio tumbuiza kwenye shoo hiyo ni Mo Music,Baraka Da Price na H Baba.


0 comments:

Post a Comment

ufunguzi