WAKATI WANANCHI WANAANDAMANA AJIBURUDISHA.
Rais wa Burundi Pierre Nkurunzinza ameendelea na burudani ya kucheza mpira mjini Bujumbura nchini humo.Huku maandamano ya raia kupinga kugombea kwake awamu ya tatu yakiendelea nchini .Polisi wamekua wakizuia maandamano hayo na kuuwawa baadhi ya raia.Hata hivyo rais huyo ameonekana kutojali akiendelea na mambo yake.




0 comments:
Post a Comment