,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Tuesday, May 26, 2015

"Kuna mjinga mmoja anapenda sana kunichambachamba bila sababu nzuri! anasema maziwa yangu kandambili ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ ni sawa tena sio kandambili tu ni ndala za umoja- mama nimenyonyesha mwaka na miezi 7 halafu mm sio mtoto naelekea miaka 32 sasa! sasa unataka yasimame mpaka lini ???
Basi itakua maajabu maana ntakua sikui! Halafu mnapenda kuniambia mm mzee kwani kuna tatizo ? Uzee nao ni step za kukua jamani mbona wajinga nyie ! Ina maana wazee wa nyumbani kwenu huwa heshimu ? Mbona wazee ni watu muhimu sana ktk jamii yetu? Ebena eee tafuta style nyingine hii sio zaidi nakuona mshamba tu au mjinga flan amazing - kama unatafuta Kiki kuwa mbunifu kidogo- basi .... Jua tu nafurahia sana ukuaji wangu kila step na kianza tu kuota mvi sitaweka rangi nataka kujiona kila step ya umri wangu na mabadiliko yangu ya mwili tena nasubiri kwa furaha zote na kuna wkt najiona nikizeeka ntakuaje- najipenda sana na nina uwezo wa kuweka maziwa yalio simama lkn najiona mimi ni zaidi ya maziwa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ maziwa sio issue sana kuna wkt yalisimama na sasa yameangu na mambo yote muhimu yanaendelea - mm sio mwanamke wa hivyo unavyozani ! Maziwa yangu nayapenda tena naringa maana hayakulalishwa bure yame nyonyesha na yameleta matunda maana wataalamu wanasema watoto walionyonyeshwa wanakua very bright and mtoto wangu yuko bright ! Sikukwepa kunyonyesha kama wanawake wengi wa kisasa wanavyokwepa kwa ajili ya kuogopa maziwa kulala! Hapana na vingi vya kuonyesha zaidi ya maziwa! Pu...bavu mkubwa we !!!!!!!"

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi