,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Monday, May 25, 2015


Mkurugenzi wa Endless Fame, Wema Isaac Sepetu akiwa ameshika tuzo yake.

MKURUGENZI wa Endless Fame, Wema Isaac Sepetu, juzikati alionesha maajabu ya aina yake baada ya kuwagaragaza waigizaji wenzake Jacqueline Wolper, Elizabeht Michael ‘Lulu’, na Riyama Ally katika kinyang’anyiro cha Tuzo za Watu.

Wadau mbalimbali waliohuzuria wakufuatilia hafla hiyo ya utoaji tuzo. Tukio hilo lilijiri usiku wa kuamkia Mei, 23 mwaka huu katika Hoteli ya Hyatt Regency iliyopo Posta jijini Dar es Salaam.Wema aliibuka kinara na kuwafanya baadhi ya mashabiki wake walipuke kwa shangwe huku Wolper, Lulu na Riyama wakibaki kimya. 

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi