,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Sunday, May 24, 2015

Basi LA Super Feo linalofanya safari zake kati ya Mbeya na Songea latumbukia mtoni Leo asubuhi. Super Feo hilo lilikuwa likitokea Mbeya kwenda Songea limetumbukia mtoni baada ya kuovertake na kukutana na lori mbele yake
kisha kutumbukia mtoni karibu na eneo la Pipeline Inyara. Taarifa zaidi zitafuata kadri tutavyoweza kuzipokea.
BONYEZA KUONA PICHA ZAIDI 

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi