,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Sunday, April 26, 2015



MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amefunguka kuwa baada ya kukanusha kuwa hana ugonjwa wa Ukimwi, mpenzi wake amemcharukia kweli akihoji kwa nini akanushe kama hana?
Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’.


Akizungumzia tukio hilo, Amanda alisema baada ya gazeti la Ijumaa la wiki iliyopita kuripoti akimchana shabiki aitwaye Joel ambaye aliandika mtandaoni kuwa mwigizaji huyo anatumia vidonge vya ARV ili kuongeza nguvu za kuishi, ndipo mchumba wake akacharuka.
“Baby alicharuka kweli akadhani labda pengine ni kweli wakati mimi nimepima na majibu yangu ni mazuri, nilimuelewesha kwamba nilimchamba yule shabiki ambaye aliropoka tu bila ushahidi, nashukuru alinielewa na sasa tuko poa,” alisema Amand

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi