,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Monday, April 13, 2015

JK KATIKATI YA MAASKOFU JANA JUMAPILI APRIL 12 SHINYANGA
"'eh nchi yetu hii haina dini....mkiona tunaliamua jambo kama CCM ama kama serikali mjue tumeliamua kwa haki kabisa,,,nyie viongozi wa dini wasameheni wale wengine wanaowatusi ,,,
nyie ndio mnaotufundisha kuwa tusamehe saba mara sabini,
,,na mshukuru sana baba Kardinal Pengo kwa kusamehe...
anafundisha pakubwa sana hasa sisi tulio na nafasi kubwa hizi serikalini katika hilo...kwa hiyo jambo tulilo liamua baada ya kulifanyia uchunguzi wakina tutalitetea tu atakama baadhi ya watu litawakera,,,eh,,,serikali tunatambua sana umuhimu wenu viongozi wa dini katika kutuombea na mchango wenu katika jamii ...
na ndio mana tunasema kama kunamambo muhimu ambayo zipo baadhi ya sheria zinatatiza ama hazitambui ni wajibu wetu kuwasaidia katika hilo madhali zinafaida na jamii husika na wala kwa kufanya hilo hatuwezi kuwa wadini hata kidogo,,,oneni mimi mwuislamu leo nipo katikati yenu TUNAJENGA NCHI YETU..."



0 comments:

Post a Comment

ufunguzi