,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Monday, March 9, 2015


"Mtabakwa hadi na kaka zenu wa damu mnako elekea mabinti wa kitanzania maana hii mitandao imewapotezea hadi malengo mliyo kuwa mmpenga katika maisha yenu,
mmepoteza mlio wapenda na sasa mmebaki mnatapa tapa,nyeti zenu sasa zimekuwa halaiki,mmepoteza hata heshima ya miili yenu kwa kuwafurahisha wanaume wa mitandaoni amabo hata hamjawahi kuwaona.Mnaelekea wapi wake amabao mlitegemewa kuja kuilea familia zenye maadili hapo baadae><go,uncle upo now friend lakini bado unatuonyesha shanga za kiunoni,mara maziwa yapo njee tu,sidilia now zipo mtandaoni 24hrs,night dress ndo nguo zenu rasmi siku hizi mitandaoni,bafu sio sehmu ya kuogea bali ndo kuji self picha za kimahaba ndo mwashinda huko,Mnazidi kujipotezea thmani zenu kila kukicha na bado mwalaumu mna gundu,tatizo nyota na maneno kibao bila hata kurudi nyuma na kujiuliz hivi vivuli vya dhambi nani vitamfuata katika maisha yake kama sio wewe??Mnatoa mimba kwa visingizio vya kulinda ulembo na kuogopa kuzeeka.baadae mwaolewa hamzai mnshinda kwa waganga wa kienyeji na kuwapa wachungaji mizigo isiyo kuwa na hata maana kuishughulikia.Umepost paja zimebabuka wee wanaume waki comment vibaya hahah hapo utaporomosha matusi wee ila waki sema soo sexy,sweeety and mengineyo mashavo yanalowa kwa tabasamu zito sasa hivi ww sasa si tukupeleke makubusho uwe kivutio cha wanaume???WAXHAWI WA MAISHA YENU NI NYINYI WENYWE.Najua mnaiga iga tuu ila mtambue kuwa kunq leo ya kil KITU NA IFIKIAPO mwisho wake utabakia mtupu na usiye thamni tena!!Mbadilike bhananaa ila samahani kama ntawakela wazee wa kuji expose.
‪#‎Mpori‬ Najisikia badly badly sanaa!!"



0 comments:

Post a Comment

ufunguzi