![]() |
·
"Wanaume
ni km Ndege wakiwa juu ya tawi huimba vizuri sana,lkn ni hatari sana
kuwa na urafiki nao!.Maana wakiona tawi lingine jipya na zuri machoni
mwao,huruka na kukuacha umpweke,,uwe mwangalifu wanapokufurahisha kwa
maneno na ahadi zao usiendelee kupoteza muda wko kung'ang'ania mfupa
uliomshinda fisi pengine hilo sio fungu lko,,Usiumie wala kulia kwn
thaman ya machoz yko haifanani na thaman ya LESO unayojifutia
machoz,,,Songa mbeleee na jua kuwa atowae n mungu,wa2mie wanawake wenzio
ujumbe huu mzuuri...! Tuishi kwa malengo."
0 comments:
Post a Comment