,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Tuesday, March 10, 2015


Q: mlikutana wapi mara ya kwanza mpk mkaanzisha love? . NUH: Shishi alikuja studio moja hivi ambapo mimi nilikuwa nafanya kazi zangu . SHISHI: kwa mara ya kwanza nuh tulikutana studio tukasalimiana na tangu hapo tukawa wapenzi 


. Q: nani alianza kuwa na hisia na mwenzie? . NUH: yeye alikuwa na hisia na mimi na mimi nilikuwa na hisia na yeye..naamini mungu ndo alitukutanisha .
Q: ni kitu gani ambacho kila mtu hakukijua kwa mwenzie na amekuja kukijua tayari mkiwa wapenzi? 

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi