Mwanasheria
mkuu wa chama cha upinzani nchini CHADEMA, Tundu Lissu leo ametangaza
kuvuliwa uanachama kwa mbunge wa Kigoma Kasikani Zitto Kabwe baada ya
Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Dar es Salaam kutupilia mbali
pingamizi la mbunge huyo la kuzuia asijadiliwe.
"Kwa mujibu wa katiba ya chama cha CHADEMA, mwanachama yoyote anapofungua kesi mahakamani dhidi ya chama chake, endapo atashindwa katika kesi hiyo atakuwa amejiondoa uanachama wake, kwahiyo natangaza rasmi rasmi Zitto Kabwe sio mwanachama tena wa Chadema.
"Kwa mujibu wa katiba ya chama cha CHADEMA, mwanachama yoyote anapofungua kesi mahakamani dhidi ya chama chake, endapo atashindwa katika kesi hiyo atakuwa amejiondoa uanachama wake, kwahiyo natangaza rasmi rasmi Zitto Kabwe sio mwanachama tena wa Chadema.
0 comments:
Post a Comment