Na Andrew Chale wa modewjiblog
Ile
party ya kijanja inayosubiriwa kwa hamu kubwa na watu mbalimbali wa
ndani na nje ya Zanzibar Maarufu kama ‘RED CUP Party’ kufanyika
Februari 28 ndani ya Hoteli ya Palm Beach iliyopo Bwejuu, Unguja.
Akielezea
mwandaaji wa shoo hiyo ya kijanja, Djzoro ON Mix Man amesema tayari
mipango yote imekamilika na tiketi zimeanza kuuzwa kwa sasa.
“Party
ya kijanja ya RED CUP Party, kwa sasa ni gumzo na tiketi zimeshaanza
kuuzwa. Kwa kiingilio cha sh 10,000/= kwa wanaume na sh 5000/=, kwa
wanawake. Pia kwa wanaotaka tiketi wanaweza kuwasiliana kupitia simu
namba 0658775755.” Alibainisha Djzoro ON Mix Man
Djzoro
ON Mix Man aliongeza kuwa, Party hiyo inayotarajiwa kufanyika katika
hoteli ya Palm Beach iliyopo Bwejuu nje ya mji wa Unguja. Wameandaa
magari yatakayoondokea Ngome Kongwe majira ya saa 6. Ambapo pia, kama
utakuja na usafiri wako mlangoni kwenye shoo, kiingilio kitakuwa sh
elf 5 tu sambamba na michezo mbali mbali pamoja na swimming pool.
“Hii
shoo ni ya aina yake kwani ni Kimataifa, tayari set up ya swimming
pool ipo tayari kwajili ya REDCUP na usiku zitawaka taa mbali mbali za
kupendeza.
Jipange
kwa kingilio cha elf 5 mlangon au kwa bus kubwa kutoka NGOME KONGWE
mpaka PALM BEACH na shiling elf 10 kwa wanaume na elf 5 kwa wanawake
karibu sana” alisema. Djzoro ON Mix Man.
Eneo litakalofanyika Red Cup Party.
Tiketi zipo tayari.

0 comments:
Post a Comment