Blogu ya Wananchi

,./.,

,./.,

,,

,,

... ...

...      ...

';';';';

';';';';

''=

''=

==

==
adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu
  • REAL ESTATE
  • JOBS
  • DOWNLOAD MP3
  • UDAKU
  • RATIBA ZA STAREHE/VIDEO
  • FINANCIAL

Wednesday, February 18, 2015

PICHA ZA BAADHI YA WAKUU WAPYA WA WILAYA WALIOTEULIWA NA RAIS LEO!!

Posted by Williammalecela.com on Wednesday, February 18, 2015
Mwakalebela kati kati.
Paul Makonda.
Shabaani Kisu wa kwanza kushoto.
Zolothe Steven
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, amefanya uteuzi wa wakuu wapya wa Wilaya, kuwahamisha vituo vya kazi huku wengine wakiachwa.

Habari zilizotufikia hivi punde zinasema majina 27 mapya yameteuliwa huku wengine 11 wakitupwa nje ya uongozi huo.

Walioteuliwa ni pamoja na

1. Katibu Mkuu wa Zamani wa TFF, Freddrick Mwakalebela
2. Mtangazaji wa TBC, Shaban Kisu
3. Katibu wa Hamasa wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Paul Makonda
4. Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mboni Mhita
5. RPC wa zamani, Zolothe Steven.

Majina hayo yametangazwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda mjini Dodoma mchana huu.



Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

ufunguzi


LE MUTUZ ONLINE TV

LEMUTUZ NATION

LEMUTUZ  NATION

TOTAL PAGEVIEWS

PETRIDA FASHION

PETRIDA FASHION

VOTE NOW

best vpn cheapest vpn

LEMUTUZ_NATION FOLLOW @INSTAGRAM

LEMUTUZ_NATION   FOLLOW @INSTAGRAM

VIDEO KIZAZI KIPYA

VIDEO MUZIKI WA DANCE

Business Ad

Business Ad

Popular Posts

  • KUMBE KABLA YA KUMUOA GRACA MZEE MANDELA ALITAKA KUMUOA HUYU BIBIE AKAKATALIWA SOMA HAPA LIVE!!
  • MASTAA WA BONGO WEMA NA PENNY WATANGAZA VITA DHIDI YA DIAMOND NA ZARI!!
  • SASA SHILOLE HUKU ANAKO ELEKEA SIO SAHIHI KABISA...KWA KUPIGA PICHA ZA NAMNA HII HAIKUBALIKI KABISA KUWA KIOO CHA JAMII
  • MASUPA STAA WA BONGO KINA IRENE UWOYA NA WENZAKE WAANIKWA MACHAFU YAO NA MAJIRANI ZAO LIVE!!
  • P FUNK AMUONYA MASTER J KUHUSU HARMORAPA

Blog Archive

10 BLOGS I APPROVE

  • MICHUZI BLOG
    TPSC YAWAUNGANISHA WATAALAMU KUJADILI MATUMIZI YA AKILI MNEMBA KATIKA SEKTA YA UMMA
  • CCM Blog
    PUNGUZA STRESS....
  • VIJIMAMBO
    WATUHUMIWA WA KUSAFIRISHA KILO 20.03 ZA SKANKA KATIKA BASI LA KING MASAI TOURS WASOMEWA MASHTAKA
  • JESTINA GEORGE
    Waziri Ndalichako azindua chuo kipya cha VETA Kagera
  • www.sintah.com
    ISHA MASHAUZI KATIKA UBORA WAKE
Copyright © Blogu ya Wananchi

Developed by MKCT