,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Tuesday, January 27, 2015

 
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa Mh.Mwinyijuma  Hamad Mshauri wa kikundi cha Ushirika Cha ufugaji wa Samaki na Uhifadhi wa Mazingira  Gando Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba akiwa katika ziara ya kikazi ya kukagua na kuhimiza utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010
, Kinana akihutubiwa wananchi leo katika Wete mjini amewaambia wananchi kwamba viongozi wa Chama cha CUF wakiwaambia jambo wanatakiwa kuchanganya na akili zao pia ili kutafakari watakayoambiwa badala ya kukubali kila kitu. Ameongeza kwamba Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mh. Maalim Seif Sharif Hamad pamoja na viongozi wenzake wa CUF wapo katika serikali ya umoja wa kitaifa ya SMZ lakini pamoja na hayo wameshindwa kupekeka Maji, Umeme, Barabara, Afya na mambo mengine mengi  huko Pemba.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana  akishiriki kupaka rangi majiko yaliyotengenezwa tayari katika kijiji cha Chanjaani Shehia ya Ukunjwi Mkoa wa Kaskazini Pemba. 8Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na viongozi aliofuatana nao wakiangalia mafundi wa Tanesco wakati wakiunganisha umeme  katika mradi wa usambazajiwa umeme jimbo la Mtambwe wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba 9 
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiunganisha umeme wakati aliposhiriki shughuli ya usambazajiwa umeme jimbo la Mtambwe wilaya ya Wete  Mkoa wa Kaskazini Pemba 10 
Afisa Uhusiano wa Shirika la Umeme Zanzibar Fakhi Othman Sharif akitoa taarifa kwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana wakati alipotembelea na kukagua mradi wa Usambazaji wa umeme jimbo la Mtambwe.  
 12 
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana  akishiriki shughuli ya kuunganisha mabomba ya maji katika mradi wa usambazaji maji jimbo la Mtambwe Wete  Mkoa wa Kaskazini Pemba 13 
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana katikati, Balozi Amani Karume kushoto na Mama Maua Daftari kulia wakishiriki kufukia mambomba ya maji katika mradi huo14 
Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Ndugu Maua Daftari akizungumza wakati msafara wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ulipotembelea katika tawi la Kigangani jimbo la Ole. 16 
Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Ndugu Maua Daftari akizungumza katika mkutano wa hadhara mjini Wete Pemba. 17 
Viongozi mbalimbali wakiwa wamekaa meza kuu wakati wa mkutano huo.  18 
Mkutano huo ukiendelea. 21 
Mohamed Abood  Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohamed  Aboud Mohamed akiwahutubia wananchi katika mkutano huo. 22 
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika Mtemani mjini Wete Kaskazini Pemba. 23 
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwapa somo wananchi hao waliohudhuria kwenye mkutano huo.



Categories:

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi