,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Monday, November 24, 2014

Kushoto ni Bwn. Ngayoma katika picha ya pamoja na Jacqueline na Andrew wakati wakijiandaa kuingia ukumbini Hampton Inn kwenye tafrija ya kumkaribisha  mtoto (baby shower) iliyofanyika siku ya Jumamosi Novemba 22, 2014 College Park, Maryland nchini Marekani.
Jacqueline na Andrew wakiingia ukumbini kwenye tafrija ya kumkaribisha mtoto wao wa kiume iliyofanyika Hampton Inn iliyopo College Park Maryland nchini Marekani siku ya Jumamosi Novemba 22, 2014


Jacqueline na Andrew wakiwa meza kuu
Dada tuma mshereheshaji maarufu nchini Marekani akifanya vitu vyake.
Mchungaji John Mbatta akifanya maombi
Jacqueline na Andrew wakipata chakula.

kwa picha zaidi bofya soma zaidi


0 comments:

Post a Comment

ufunguzi