,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Wednesday, August 28, 2013



 
Sheikh Ponda Issa Ponda akifikishwa mahakamani akiwa chini ya ulinzi.
 
Sheikh Ponda akiwa kizimbani leo.
Baadhi ya wananchi waliofika mahakamani.
Sheikh Ponda akirudishwa kwenye Karandinga baada ya kesi yake kuhairishwa.
Katibu Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama  ya Hakimu Mkazi mkoani Morogoro kujibu mashitaka yanayomkabili.
(PICHA NA DUSTAN SHEKIDELE GPL, MOROGORO)

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi