Sheikh Ponda Issa Ponda akifikishwa mahakamani akiwa chini ya ulinzi.
Sheikh Ponda akiwa kizimbani leo.
Katibu Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani Morogoro kujibu mashitaka yanayomkabili.
(PICHA NA DUSTAN SHEKIDELE GPL, MOROGORO)
0 comments:
Post a Comment