,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Wednesday, August 28, 2013

To my Super Friend Super Star Actress wa Bongo Movie Aunty Ezekiel, I am so sorry na kilichokutokea na tayari nimeona wananchi wengi wakianza kutoa hukumu zao kama kawaida bila ya kuwa all the FACTS. I myself sijui all the FACTS to the ishu, lakini leo nitakuja Hospitali kukuona ans hope to get the FACTS from you, kwa sababu hakuna anayejua ukweli zaidi yako na aliyekushambulia. Until I get the FACTS sina haki ya kuzusha anything,

 HOWEVER:- Sihitaji FACTS kukilaani kitendo cha aliyekushambulia na kukupa jeraha kubwa sana mkononi, I mean no matter what hakuna justification unless ulimshambulia kwanza alikuwa anajihami which so far it is not the ishu here. I must say this bila ya wasi wasi kwamba mwanzoni nilikuwa sijakuelewa vizuri as a person, lakini recently after getting very close to yah, I came to see a very serious woman with vision for the future na ni binadam unayejiheshimu so this to me is a big suprise.

- Nikakuombea sana kwa Mungu a quick recovery, upone haraka na uendelee na maisha yako kama kawaida. Nimeona mahali watu wakikushambulia kwamba kwa nini huishi kwa mume wako kwa hiyo ndio justification ya kushambuliwa kwako, simply foolish thinking hapa mjini wapo wanaume wengi tu wake zao wapo nje na so is wake wengi tu waume zao wapo nje. Kwamba upo mjini unaruka ruka sana nayo pia ni nonsense, unless una ushahidi wa chumbani kuona kwa macho mtu mmoja akitembea na mwingine na ukauweka wazi popote kwenye media, inakuwa ni speculation na majungu so worry not. 

My Friend understand ni mti wenye matunda mazuri ndio unaorushiwa sana mawe so is you, ni mkareez kwanza upo Super, na una maisha powa na huonekani kama unatoka sana jasho kutengeneza mkate wako wa kila siku, so ni kawaida kwa wananchi wanaotoka sana jasho kupata mkate wao kukusingizia anything ili kujiridhisha, so do not pay them any mind!!

- AGAIN NAKUOMBEA KWA MUNGU WA MBINGUNI UPONE HARAKA SANA NA FOR SURE LEO WILL COME TO SEE YAH MTUWANGUZ!! LOVE U MORE SANA MINGI!!

Le Mutuz

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi