Posted by Williammalecela.com on Sunday, September 23, 2012
Wakinamama
wanaofanya biashara ya kuuza zabibu wakisubiri wateja wao kama
walivyokutwa jana katika kituo kikuu cha Mabasi ya Mikoani mjini
Dodoma,zabibu hizo zilikuwa zikiuzwa kuanzia sh.300 kwa fungu moja
0 comments:
Post a Comment