Rapper Young Dee ameomba radhi baada ya kusambaa kwa picha zenye utata mitandaoni akiwa video vixen na msanii Amber Lulu, Young Dee anaonekana akitazama makalio ya video vixen huyo ambae yuko nusu uchi kwenye picha hiyo.
Kupitia account yake ya instagram Young afunguka hay:
"Nasikitishwa kwa picha inayosambaa mitandaoni.. imevuja bila ridhaa yangu ni picha iliyokua imepigwa behind the scene lengo haswa la photoshoot ni aina hii mpya ya mavazi ya aina ya ki"Scortish" kama sketi. Naomba radhi sana kwa hili! Na kwa mashabiki wote!😒 So sad! "
Kupitia account yake ya instagram Young afunguka hay:
"Nasikitishwa kwa picha inayosambaa mitandaoni.. imevuja bila ridhaa yangu ni picha iliyokua imepigwa behind the scene lengo haswa la photoshoot ni aina hii mpya ya mavazi ya aina ya ki"Scortish" kama sketi. Naomba radhi sana kwa hili! Na kwa mashabiki wote!😒 So sad! "


0 comments:
Post a Comment