,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Tuesday, August 29, 2017

 Mkurugenzi Mtendaji wa Mutlichoice Tanzania Ndugu Maharage Akiongea na Vyombo vya Habari leo wakati wakizindua Bei mpya ya Vifurushi vya Dstv itakayojulikana kama Vyuma Vimeachia,Dstv Tanzania wamesema wamesikiliza Kilio cha wateja wao na ndio maana Wameamua kuwajali wateja wao kwa kupunguza Bei ya vifurushi vyao.
Akifafanua zaidi Ndugu Maharage Amesema Punguzo limeshuka hadi asilimia 16 Ambalo ni Punguzo kubwa sana na litakalowapa ahueni kubwa watumiaji wa Dstv.
  Wafanyakazi wa Multichoice Tanzania Walioudhuria Uzinduzi huo
Balozi wa Multichoice Tanzania Nancy Sumari Akizungumza Machace Wakati wa Uzinduzi huo.
Multichoice Tanzania tunawaletea wateja wetu mabadiliko makubwa kwenye Vifurushi vya DStv.Ni punguzo kubwa katika Bei za vifurushi vyao litakaloanza Rasmi Tarehe 1 Septemba na mabadiliko hayo yatakua kama ifwatavyo:
Premium kutoka 184000 mpaka 169000 Compact Plus kutoka 122500 mpaka 109000 Compact kutoka 82,500 mpaka 69,000  Family kutoka 42,900 mpaka 39,000 Bomba kutoka 19,975 mpaka 19,000 
Balozi wa Dstv Tanzania Nancy Sumari Akiwa Sambamba na Mkurugenzi Mtendaji wa Mutlichoice Tanzania Ndg. Chande Maharage  Pamoja na Mkurugenzi wa Masoko wa Dstv Tanzania Ndg Alpha ...leo wakati wakizindua "VYUMA VIMEACHIA" yaani imepunguza tena bei ya VIFURUSHI Mkurugenzi Mtendaji akieleza zaidi amesema Vyuma vimekaza akimaanisha hali ya kifedha imebana.Multichoice imelisikia hilo na kuamua kuwapa wateja wote wa Dstvahueni kubwa.Sasa kwa wateja wa Dstv VYUMA VIMEACHIA.
 
Mkurugenzi wa Masoko wa Dstv Tanzania Ndg Alpha Akiz\ungumza machache wakati wa Uzinduzi huo.


Balozi wa Dstv Tanzania Nancy Sumari Akimkabidhi Mmoja wa waandishi waliojishindia zawadi ya Kingamuzi cha Dstv kilicholipiwa mwezi mzima 

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi