Mkuu wa mkoa wa Mbeya leo amefanya vikao na Mabaraza YA halmashauri YA Mbeya na Jiji la Mbeya na kuhaidi endapo madiwani hao WASIPOTENGA fedha asilimia 10 YA mapato YA ndani atawashtaki kwa wananchi waliowachagua
-Kutenga fedha hizo Si hiari ni takwa la kisera hivyo ni muhimu madiwani wakasimamia utengaji wa Fedha hizo
- Ameelekeza halmashauri hizo kutoa fedha kwa vikundi hadharani badala YA kuzitoa kimyakimya


0 comments:
Post a Comment