Dancer machachari kutoka kundi la WCB Mose Iyobo a.k.a Baba Cookie amechafua hali ya hewa instagram..
ni baada ya kutuma picha ambayo inaonekana kama ni dongo kwa msanii ALI KIBA mwenye HIT SONG SEDUCE ME inayobamba mtaani na kusumbua kwenye chati za muziki nje na ndani ya nchi.
Hii ndiyo post aliyotuma kwenye instagram account yake siku ya leo.
Nini maoni yako wewe kama mdau wa bongo fleva.
ni baada ya kutuma picha ambayo inaonekana kama ni dongo kwa msanii ALI KIBA mwenye HIT SONG SEDUCE ME inayobamba mtaani na kusumbua kwenye chati za muziki nje na ndani ya nchi.
Hii ndiyo post aliyotuma kwenye instagram account yake siku ya leo.
Nini maoni yako wewe kama mdau wa bongo fleva.

0 comments:
Post a Comment