,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Wednesday, May 24, 2017

Kamati ya Waandaaji shindano la Miss Tanzania sasa kufikishwa Mahakamani baada ya Wanasheria wa TSNP kuapa kuwa watawasaidi walimbwende walioshika nafasi ya 2,3 na 4 wa mwaka 2016 kulipwa pesa walizoahidiwa.


mw16tz.jpg

Hivi majuzi Serikali ilishinikiza kamati hiyo kumpa zawadi mshindi wa Miss Tanzania ndipo Wanakamati walipojitutumua na kukabidhi gari ambayo sitaki kuingolea kwa kuwa kila Mtanzania aliishuhudia.

1.JPG

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi