Kamati ya Waandaaji shindano la Miss Tanzania sasa kufikishwa Mahakamani
baada ya Wanasheria wa TSNP kuapa kuwa watawasaidi walimbwende
walioshika nafasi ya 2,3 na 4 wa mwaka 2016 kulipwa pesa walizoahidiwa.
Hivi majuzi Serikali ilishinikiza kamati hiyo kumpa zawadi mshindi wa Miss Tanzania ndipo Wanakamati walipojitutumua na kukabidhi gari ambayo sitaki kuingolea kwa kuwa kila Mtanzania aliishuhudia.
Hivi majuzi Serikali ilishinikiza kamati hiyo kumpa zawadi mshindi wa Miss Tanzania ndipo Wanakamati walipojitutumua na kukabidhi gari ambayo sitaki kuingolea kwa kuwa kila Mtanzania aliishuhudia.
0 comments:
Post a Comment