,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Thursday, April 13, 2017

Staa wa Bongo Hamis Mwinyijuma maarufu kwa jina la MwanaFA
Rais Dkt John Joseph Pombe Magufuli ni shabiki wa muziki wa Hamis Mwinyijuma maarufu kwa jina la MwanaFA, hilo limewekwa wazi na msanii mwenyewe.
Rais Magufuli ameamua kuweka hisia zake hizo wazi kwa kumpigia simu msanii huyo wa Bongo Fleva na kumfikishia ujumbe kuwa yeye ni msikilizaji mzuri wa wimbo wake wa Dume Suruali.
Katika wimbo huo ambao rais anaupenda, MwanaFA amemshirikisha mwanadada Vanessa Mdee na video yake ikiwa imerekodia Afrika Kusini.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter, msanii huyo ameandika:“Nimefurahi kupokea simu ya Mheshimiwa Rais @MagufuliJP kunisalimia na kuniambia yeye ni mpenzi wa kazi zangu,haswa #DumeSuruali,” ametweet Mwana FA.

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi