
Eric Omondi (kulia) mwenye Tai nyekundu akieleza jambo kama Rais Trump wa Marekani.
MCHEKESHAJI kutoka Kenya, Eric Omondi, katika projeti yake ya kuchekesha maarufu kama ‘How To Be’, amemuigiza Rais wa Marekani, Donald Trump, wakati alipokuwa akigombea urais wa Marekani.
Video hiyo imemwonyesha Omondi akifanya vituko vya Trump wakati akiomba kura kwa Wamarekani akionekana kuwa mtu jeuri na mwenye kujiamini kupita kiasi wakati wa kinyang`anyiro hicho.
MCHEKESHAJI kutoka Kenya, Eric Omondi, katika projeti yake ya kuchekesha maarufu kama ‘How To Be’, amemuigiza Rais wa Marekani, Donald Trump, wakati alipokuwa akigombea urais wa Marekani.

Video hiyo imemwonyesha Omondi akifanya vituko vya Trump wakati akiomba kura kwa Wamarekani akionekana kuwa mtu jeuri na mwenye kujiamini kupita kiasi wakati wa kinyang`anyiro hicho.
0 comments:
Post a Comment