,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Thursday, March 9, 2017


Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha
Dodoma. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Bulembo amesema hatogombea tena nafasi ya uenyekiti wa jumuiya hiyo.
Bulembo ametoa kauli hiyo leo (Alhamisi) katika kikao cha baraza hilo  mjini Dodoma na kutumia fursa hiyo kuwaaga wajumbe hao na kusema kuwa hoja siyo ubunge alioteuliwa bali ni utamaduni wake aliojiwekea katika maisha yake.

Image may contain: 7 people, people sitting and indoor
"Hoja hapa siyo ubunge kwamba nitakuwa nakofia mbili huu ni utaratibu wangu niliojiwekea katika maisha siwezi kung'ang'ania madaraka. Nilifanya hivi nilipokuwa naibu Meya Musoma na nilipokuwa kiongozi wa Chama cha Mpira wa Miguu Nchini (TFF), " amesema.
Kutoka na uamuzi huo Bulembo amewaonya wajumbe wenye lengo la kuchukua fomu ili kumrithi kutomfuata wala kumpigia simu awasaidie badala yake amewataka wafuate utaratibu wa jumuiya hiyo.
Image may contain: 10 people, people sitting, table and indoor

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi