Posted by Williammalecela.com on Saturday, September 10, 2016
Kumetokea tetemeko la Ardhi na limepiga maeneo ya mkoa wa Kagera na inadaiwa mikoa jirani nayo imepata mtikisiko.
UPDATES:
- Linadaiwa kurudia tena likiwa na mtikisiko mkubwa zaidi
- Nyumba kadhaa zimebomolewa
- Taarifa za vifo zimesikika
0 comments:
Post a Comment