Posted by Williammalecela.com on Sunday, August 07, 2016
Mfanyabiashara
na mwenyekiti wa Yanga Yusuph Manji katika mkutano mkuu na wanachama wa
Yanga aliomba wanachama wamkodishie timu ya Yanga na nembo ya klabu kwa
kipindi cha miaka 10
kwa kigezo kuwa timu imekuwa ikijiendesha kwa
hasara na kuwa mwaka unaokuja itashindwa kuepuka hasara ya bilioni 1.9,
hivyo anaomba akodishiwe timu na mali za klabu ziendelee kuwa chini ya
klabu kama kawaida.
0 comments:
Post a Comment