Posted by Williammalecela.com on Sunday, August 07, 2016
Hospitali ya Mkoa Ruvuma. Madaktari wakiangalia watoto walioletwa hospitali leo. Muitikio wa wakazi wa mjini hapa ni mkubwa na tunategemea watoto wote waliofikishwa hospitali leo wafanyiwe upasuaji wa kichwakikubwa kwa udhamini wa #GSMFoundationTz
#Hydrocephalus
0 comments:
Post a Comment